Zechariah 14:7-8

7 aItakuwa siku ya kipekee, isiyo na mchana wala usiku, siku ijulikanayo na Bwana. Jioni inapofika nuru itakuwepo.

8 bSiku hiyo, maji yaliyo hai yatatiririka kutoka Yerusalemu, nusu kwenda kwenye bahari ya mashariki,
Yaani Bahari ya Chumvi au Bahari Mfu.
na nusu kwenda kwenye bahari ya magharibi
Yaani Bahari ya Mediterania.
wakati wa kiangazi na wakati wa masika.

Copyright information for SwhNEN